Vita vya Kiroho ni mfululizo wa masomo sita (6) yanayofundisha namna ya kupigana vita katika ulimwengu wa kiroho ili kupata ushindi utakaowezesha kutawala ulimwengu wa kimwili.
Mafundisho haya yanapatikana katika CD na DVD
Vita vya Kiroho ni mfululizo wa masomo sita (6) yanayofundisha namna ya kupigana vita katika ulimwengu wa kiroho ili kupata ushindi utakaowezesha kutawala ulimwengu wa kimwili.
Mafundisho haya yanapatikana katika CD na DVD
Comments(6)
Ticha Mgisa says:
20 July 2017 at 15:12Hiki chakula kigumu, si cha watoto. Watavunjika meno.
Timothy Zabloni says:
15 July 2021 at 10:54Mtumishi kwa njia gani naweza nikapata CD, au vitabu vyako ulivyoandika?
ALEX EBNEZERRY NGOWO says:
16 May 2022 at 17:36Naomba kujua ninawezaje kuyapata yale mafunzo uliyofundisha pale kanisa la UFUFUO NA UZIMA (Ubungo mwaka 2021 mwishoni)
Anonymous says:
16 September 2021 at 14:07Bwana Yesu asifiwe Mwalimu
Nimeibiwa sanduku langu nililohifadhi CD na DVD zote za mafundisho yako kamili zaidi ya aina 12 mfano Upotofu,Kumshida Adui Mwili,Karama na Huduma,Kusifu na Kuabudu,Malango ya muda,Ukuhani wa Kifalme n.k je nitayapataje?
Wilhelm Ombeni says:
27 April 2022 at 21:42Naomba kupata notes hizi kwa email tadahali za kanuni za kiroho za maisha ya ushindi; dhambi uasi dhambi uovu na dhambi makosa
Wilhelm Ombeni says:
27 April 2022 at 21:42Naomba kupata notes hizi kwa email tadahali za kanuni za kiroho za maisha ya ushindi; dhambi uasi dhambi uovu na dhambi makosa
Email ni [email protected]