Vita vya Kiroho

Vita vya Kiroho ni mfululizo wa masomo sita (6) yanayofundisha namna ya kupigana vita katika ulimwengu wa kiroho ili kupata ushindi utakaowezesha kutawala ulimwengu wa kimwili.

Mafundisho haya yanapatikana katika CD na DVD

Comments(3)

  1. Reply
    Ticha Mgisa says:

    Hiki chakula kigumu, si cha watoto. Watavunjika meno.

  2. Reply
    Timothy Zabloni says:

    Mtumishi kwa njia gani naweza nikapata CD, au vitabu vyako ulivyoandika?

  3. Reply
    Anonymous says:

    Bwana Yesu asifiwe Mwalimu

    Nimeibiwa sanduku langu nililohifadhi CD na DVD zote za mafundisho yako kamili zaidi ya aina 12 mfano Upotofu,Kumshida Adui Mwili,Karama na Huduma,Kusifu na Kuabudu,Malango ya muda,Ukuhani wa Kifalme n.k je nitayapataje?

Leave a Reply to Anonymous Cancel reply